|
Kiswahili Presentation
Spring 2003
Mchezo huu umeandikwa na Sarah Smiley (Afiya) Malakai Edison (Malaki)
na Lori Smith (Subira) wanafunzi wa mwaka wa kwanza
Scene 1: Subira na Afiya
S: Hujambo bibi.
A: Sijambo bibi.
S: Habari za asubuhi?
A: Salama. Na wewe je?
S: Nzuri. Habari za kazi?
A: Njema lakini kazi nyingi.
S: Ndiyo maisha.
A: Ndiyo. Unafanya kazi?
S: Hapana. Mimi ni mwanafuzi. Ninasoma katika chuo kikuu cha Kansas.
A: Unasoma masomo gani?
S: Ninasoma fizikia na astronomia.
A: Haya. Unapenda shule?
S: Ndiyo. Ninapenda shule sana.
A: Habari za familia?
S: Nzuri. Mama hajambo?
A: Hajambo. Baba hajambo?
S: Hajambo. Una nini asubuhi?
A: Nina karoti, viazi, kabiji, machungwa, na ndizi.
S: Ninataka karoti. Pesa ngapi?
A: Ni shilingi ishirini.
S: Ni ghali sana. Pesa nyingi. Nitakupa shilingi kumi.
A: Rahisi sana. Shilingi kumi na tano.
S: Haya. Ninataka viazi pia. Pesa ngapi?
A: Ni shilingi arobini.
S: Ghali sana. Shilingi thelanini.
A: Viazi ni vizuri. Shilingi thelathini na tano.
S: Haya. Unataka unga?
A: Sina unga leo.
S: Hana unga! Nitalipa shilingi themanini na tano.
A: Nina unga kidogo. Unataka kununua unga kidogo tu?
S: Ndiyo. Asante sana.
A: Haya. Shilingi mia moja, thelathini na tano.
S: Ninataka kahawa kikombe pia.
A: Shilingi tatu.
Scene 2: Malaki anafika
M: Hujambo bibi.
S: Sijambo bwana. Unataka kahawa?
M: Ndiyo.
S: Kahawa mbili.
A: (kwa Subira) Unataka sukari au maziwa?
S: Ndiyo, ninataka sukari na maziwa.
A: (kwa Malaki) Na wewe je?
M: Ninataka sukari na maziwa pia.
S: Kahawa ni nzuri.
A: Asante.
S: Habari za familia?
M: Nzuri lakini mama mgonjwa. Alienda kuona daktari. Akampa dawa. Mama
anapumzika sasa.
S: Pole sana.
M: Nimeshapoa. Ninapenda shati yako.
S: Asante.
M: Ninapenda rangi. Ulinunua wapi?
S: Nilinunua shati katika safari. Nilitaka kununua shati rangi ya buluu
lakini hakuna. Kwa hivyo nilinunua shati rangi nyeupe.
M: Mimi hupenda kanga zako. Ulinunua zaidi?
S: Hapana. Nilinunua pete mbili na vipuli.
M: Ulisafiri wapi?
S: Nilienda New Zealand. Nikafanya utafiti.
M: Ilikuwa nzuri?
S: Ndiyo. Ilikuwa salama sana. Sitaki kurudi.
M: Kulikuwa na mvua?
S: Ndiyo
M: Pole.
S: La, la. Ninapenda mvua.
M: Ulifanya utafiti gani?
S: Astronomia.
M: Ulifanya vitu vingine.
S: Ndiyo, nilienda pwana pia.
M: Uliona nyama?
S: Ndiyo, niliona ndege kwa kiwi.
M: Kwa kiwi? Ndege kubwa?
S: Hapana. Ndege ndogo.
M: Ulikula chakula kizuri?
S: Ndiyo, nilikula matunda.
M: Ninapenda matunda.
Scene 3: Afiya anarudi
A: Subira, nina karoti, viazi, na unga wako.
S: Asante. Ninataka kukujulisha na rafiki Malaki.
A: Hujambo bwana.
M: Sijambo bibi. Habari za asubuhi?
A: Nzuri sana. Na wewe je? Habari gani?
M: Salama lakini kazi nyingi.
A: Ndiyo maisha. Wewe ni mwanafunzi?
M: Ndiyo. Ninasoma katika chuo kikuu cha Kansas.
A: Unasoma masomo gani?
M: Ninasoma Kiswahili na mashairi.
A: Nilisoma Kiswahili pia.
M: Ulisoma wapi?
A: Nilisoma katika chuo kikuu cha Cincinnati.
M: Ulisoma mwaka gani?
A: Nilisoma mwaka wa 1980.
M: Ndiyo mama.
A: Unataka kununua chakula?
M: Ndiyo, ninahitaji kununua matunda kwa mama yangu. Mama mgonjwa.
A: Pole sana. Ana nini?
M: Alikuwa na homa. Ana maumivu ya kichwa.
A: Pole sana. Nina machungwa. Unataka kununua machungwa?
M: Ndiyo. Pesa ngapi?
A: Machungwa shilingi ishirini na tano.
M: Pesa nyingi. Mama mgonjwa. Nina shilingi ishirini na mbili.
A: Haya, kwa sababu mama mgonjwa, shilingi ishirini na mbili.
M: Asanta sana.
A: Lazima mama ale ndizi pia.
M: Daktari alimpa dawa. Nitampa chakula.
A: Unataka kununua ndizi?
M: Pesa ngapi?
A: Ni shilingi kumi.
M: Sina pesa. Nitarudi kununua ndizi kama nina saa.
A: Haya.
Scene 4: Malaki na Subira wanakwenda
M: (kwa Subira) Saa ngapi?
S: Saa kumi kamili.
M: Nitarudi nyumbani saa kumi na nusu.
S: Unakwenda nyumba kwa njia gani?
M: Sina gari. Mimi huenda kwa basi au teksi. Leo, nitakwenda kwa teksi.
Utakuja kwangu ?
S: Ndiyo. Marafiki watakuja kwa chakula cha joini. Sina saa. Utakuja chakula
cha jioni?
M: Ndiyo lakini hapana, ninataka kumpa mama chakula.
S: Haya. Nitalete chakula usiku.
M: Ndiyo. Lazima twende.
S: (kwa Afiya) Kwaheri.
A: Kwaherini.
Mwisho
|