|
Mchezo
wa kuigiza
Arusi ya Asha na Hamisi
Umeandikwa na wanafunzi wa mwaka wa pili
(A Play Written by Spring 2001 Second Year Students
[KIS 220] )
Wahusika:
- Nyota............................ (Megan Collar)
- Maua............................. (Mellanie Naaz)
- Imani............................. (Noelle Johnson)
- Hamisi........................... (Saju Ngalla)
- Asha............................. ( Kathleen Korphage)

Sehemu ya kwanza
(sokoni)
Hamisi: Jambo ! Jambo msichana?
Asha: Jambo sana.
Hamisi: Ungependa kununua nini?
Asha: Ninataka kununua samaki.
Hamisi: Mkono wako ni mzuri sana.
Asha: Asante
Hamisi: Wewe una rafiki mvulana?
Asha: Tafadhali sitajibu swali.
Hamisi: Kwa nini?
Mama: Msichana unataka samaki? Tazama samaki zote ni nzuri na mpya
Asha: Asante. Jina lako ni nani?
Hamisi: Jina langu ni Hamisi Skywalker. Jina lako ni nani?
Asha: Jina langu ni Asha.
Mama: Msichana, unataka samaki au unataka mume?
Asha :( to Hamisi) Ninapenda jina lako Hamisi Skywalker.
Hamisi: Ninapenda nywele yako
Asha: Asante. Ninakupenda .
Hamisi: Ninajua
Asha: Bila shaka
Hamisi: Mwishowe tuposane?
Asha: Ndiyo, tuwe na arusi.

Sehemu ya pili
Nyumbani kwa akina Asha (at Asha's house)
(Wahusika) Mjomba wa Hamisi na Wazazi wa Asha.
Mjomba: Hodi!, Hodi!.
Wazazi: Karibu! Karibu ndani!
Mjomba: Hamjambo wazazi wa Asha. Mimi ni mjomba wa Hamisi. Najua ninafanana
na Hamisi,
lakini mimi si Hamisi.
Mzazi: Nimefurahi kukutana nawe.
Mjomba: Ninakuja kwa ninyi kwa sababu mpwa wangu amemposa mtoto wenu.
Ningetaka kutoa
posa
Wazazi: Tuna furaha mpwa wako anataka kuoa binti wetu. Yeye atakuwa mke
mzuri kwa
hivyo tunatazamia mahari ghali.
Mjomba: Mambo ya mahari? Haya. Nimekuja ili tuzungumze habari hii na
ninyi.
Wazazi: Mahari utatoa nini. Zawadi ni nini?
Mjomba: Hamisi atatoa mbuzi watatu kwa binti wenu.
(others gasp)
Wazazi: Do! hilo ni neno la kuchekesha? Binti wetu ni wa thamani zaidi
ya mbuzi watatu.
Tumechukizwa sana.
Mjomba: Tafadhali mama, hamjachukizwa. Hamisi ni kijana na hana pesa
nyingi. Mbuzi watatu
ni wengi.
Wazazi: Turuhusu binti wetu kuolewa na kijana maskini kama Hamisi?. Atatunza
Asha na
watoto wao? Lakini kabla ya ujibu, karibu chai?
Mjomba: Ndiyo, asante sana. (tea is poured)
Hamisi ana mpango. Yeye atakwenda shuleni na atakuwa daktari wa kichwa.
Halafu
atakuwa na pesa nyingi. Una sukari?
Wazazi: Ndiyo. (passes sugar)
Haya, lakini, je tunajua kama Hamisi atamaliza shule?
Mjomba: Atamaliza.
Wazazi: Haya, tutasema mahari sasa. Mbuzi watatu si wazuri. Tunataka
mbuzi watatu,
ng'ombe wawili, na shilingi elfu nne.
Mjomba: Yale ni ghali sana sana. Mbuzi mmoja na ng'ombe mmoja.
Wazazi: Tunapenda sana binti wetu.
Mjomba: Itahitaji miaka kulipa! lakini atatoa ng'ombe mmoja na shilingi
elfu mbili.
Wazazi: Vizuri sana. Karibu kwa jamaa yetu.

Sehemu ya tatu
Asha na marafiki:kudondoa mchele
Asha: Desturi za arusi ni nini katika Afrika ya Mashariki?
Imani: Tuna desturi nyingi hapa. Wanawake wanafanya matayarisho mengi
kama kudondoa mchele na kupika biriani.
Maua: Ndiyo, tunafanya kazi nyingi kwa wiki mbili.
Nyota: Wakati wa arusi yangu katika Amerika
Hamisi: Ninachukia kazi za arusi kwa sababu zina sherehe za arusi. Kwa
sababu gani mama mzee alikuwa na arusi na mimi sina arusi?
Imani: Kwa sababu unalalamika sana.
Nyota: Kama Mimi nilikuwa nikisema
Asha: Ninafurahi kwa sababu ninapenda desturi za arusi katika Afrika.
Ninataka mnifundisha desturi zote za Afrika.
Nyota: Ninafikiri desturi za Afrika ni
Imani: Vizuri sana! Tungependa kukufundisha desturi zetu!
Hamisi: Hapana, ninachukia desturi zo zote za arusi.
Maua: Sivyo, tunapenda kusaidia! Lakini, kwanza tukulishe.
Asha: Kwa nini?
Maua: Kwa sababu biarusi mnene ni biarusi mzuri.
Hamisi: Ninafikiri biarusi ye yote ni biarusi mbaya.
Asha: Katika Amerika, hatupendi biarusi mnene. Biarusi mwembamba ni mzuri.
Biarusi katika Amerika hula kidogo kabla ya kuolewa.
Nyota: Ndiyo, biarusi mwembamba ni mzuri sana. Asha, wewe ni biarusi
Mwamerika. Tutayarishe arusi ya Kiamerika. Unahitaji gauni nyeupe. Ni
rahisi sana. Ninataka desturi za Amerika ndogo tu.
Asha: Haya, haya Mama. Tutakuwa na desturi nusu za Afrika na nusu za
Amerika. Haya?
Nyota: Haya. Ni arusi yako. Usiharibu.
Hamisi: Nina sababu mpya kuchukia arusi. Kila mtu amekasirika sana.
Nyota: Nani amekasirika? Mimi sijakasirika. Maua, unakasirika?
Imani: Watu wote hawajakasirika. Lazima tusigombane.
Maua: Ndiyo! Na afadhali tudondoe mchele. Tupike biriani leo usiku.
Hamisi: Samahani, nitacheza mpira leo usiku.
Maua: Tafadhali, utatusaidia leo usiku. Ucheze kesho.
Hamisi: Lakini ninataka kucheza leo. Samahani.
Imani: Utaundondoa mchele sasa, Na leo usiku, utapika biriani.
Asha: Nina njaa sana.
Maua: Samahani Bi Asha! Nimesahau kukupa chakula. Tuna majadiliano mengi.
Samahani. Unataka nini?
Asha: Ninataka matunda na mkate.
Maua: Haya. Tafadhali usubiri kidogo tu.
Imani: Usimame Maua. Hamisi, utupe chakula sasa.
Hamisi: Haya. Je, mama mzee, unataka chakula?
Nyota: Ndiyo, ninataka kuku wa kukangaa, na keki, na maziwa tu. Asante.
Hamisi: Nani anataka kusaidia kupata chakula?
Asha: Mimi ni biarusi, sitaki kusaidia.
Nyota: Sitaki kusaidia pia.
Imani /Maua: Mimi pia.
Hamisi: Je, Nani ni mvivu? Ninachukia arusi.
Asha: Mchele huu ni mchafu sana. Una mawe madogo mengi.
Maua: Ndiyo, lakini tutaundondoa vizuri sana na tutapika biriani bora
pia.
Asha: Asante sana, rafiki. Je, tuna matayarisho mengine?
Imani: Ndiyo, tuna mengi kama kutengeneza mito na kununua gauni yako.
Maua: Ninapenda sana kutengeneza mito kwa sababu ninapenda dansi pia!
Nyota: Ninataka kununua gauni nyeupe sasa.
Asha: Ninataka kununua vitu vingine pia.
Imani: Haya, twende kununua vitu.
Hamisi: Walikwenda wapi? Nilikwenda kupika chakula na walikwenda kucheza.
Ninataka kucheza pia, lakini hawaniachii kucheza. Ninachukia

Sehemu ya nne
karamu ya zawadi
(simu inalia
kriiii
kriiiii
..rafiki ya Asha
anaita)
Asha: Hello! Hello!?
Maua: Hello, Asha. Huyo ni Maua. Jambo, habari gani, rafiki ?
Asha : Jambo Maua. Mimi ni mzuri sana. Utakuja nyumbani kwangu sasa hivi
?
Maua : Ndiyo. Nitakuwa hapo katika saa moja. Ninaita kuona kama unataka
cho chote kutoka kwa duka?
Asha: Hapana, sihitaji cho chote, kwa sababu tuna chai na mkate mtamu
hapa. Kuna chakula kingi; tutakunywa na kula. Hata hivyo asante.
Maua : Haya ndiyo. Je, unataharuki leo ?
Asha : Ndiyo, sana ! Ninataka zawadi! Zawadi nyingi!
Maua: Haya, nitakuona sasa hivi karibuni. Kwaheri !
Asha : Kwaheri, Maua !
(Baada ya saa moja )
Nyota: Hodi! Hodi!
Asha : Karibu, mama. Keti, tafadhali.
Nyota : Una siku njema, mtoto wangu ?
Asha : Ndiyo, mama. Ninafurahi leo kwa sababu nitapokea zawadi nyingi.
Nyota : Je, unafurahi utaozwa kesho, pia ?
Asha : (looking indifferent) Ndiyo.
(Nyota looks puzzled, and then there is another knock on the door)
Maua: Hodi, hodi!
Asha : Karibu, rafiki.
Nyota : Jambo, Maua? Nimefurahi uko hapa leo kuunga mkono karamu ya zawadi.
Maua : Asante. Asha, mkwe wangu yuko hapa ?
Asha : La, hajafika bado, lakini ninamtazamia sasa hivi.
Nyota : (to Asha) Unapenda mamake Hamisi ?
Asha : Ndiyo. Ninafikiri ni mzuri, lakini ana mtindo wa zamani. Mngoje;
utaona.
(Hamisi's mother Imani knocks on the door)
Imani: Hodi, hodi!
Asha : Karibu, mama ! Tafadhali, njoo, keti.
Huyu ni mama yangu. Jina lake ni Nyota. Na, huyu ni rafiki yangu Maua.
Imani : Nimefurahi kukutana nanyi, sana !
Asha : Je, mnataka chai na mkate mtamu ?
Imani : Ndiyo Asha, tafadhali.
Nyota : Ndiyo Asha ninataka sukari na maziwa kwa chai yangu, pia?
Maua : Nitalete mkate mtamu na chai kwa kila mtu.
Nyota : Uko tayari kufungua zawadi zako, Asha ?
Asha : Do ! Niko tayari, sana !
Maua: Hapa ni zawadi zangu, Asha.
Asha : Asante rafiki, Ninazipenda ! Mimi nina hakika Hamisi atazipenda,
pia.
Nyota : Ninafikiri atazipenda.
(Imani looks shocked!)
Nyota: Hizi ni zawadi zangu, Asha.
Asha : (disappointed) Nzuri sana mama. Ninazipenda.
Maua: (also disappointed) Ndiyo, nzuri, nzuri sana.
Imani: Ninazipenda! Sasa nitakupa zawadi zangu. (She hands Asha cooking
utensils)
Asha: (hesitantly) Umm
Asante mama.
Imani: Nafikiri umezipenda ! Upike kwa wingi . Ni madaraka kuwa mke wa
Hamisi. Uzae watoto wengi, pia. Kumi au kumi na wa tano, pengine. Ninataka
wajukuu wengi !
Asha: (in shock) Samahani, mama Imani, lakini ninataka kwenda Chuo Kikuu
na kuwa na maisha na kazi.
Imani: Unafikiri vibaya, mtoto! Madaraka ya Hamisi kuwa na mke mzuri,
kwa hivyo ufanye kazi nyumbani!
Nyota : Mama Imani, hana haki. Ni hiari ya Asha.
Imani : Hupatani na mimi, mama Nyota ?
Nyota : Haidhuru rai yao. Asha anaruhusiwa kukaa kwa furahi. Tujifunze
kuwasaidia Hamisi na Asha kwa sababu wao ni wazuri.
Maua : Haya napatana !
Imani : Kama Asha na Hamisi wanafurahi, mimi pia.
Asha : Vizuri sana. Twende baa kwa karamu ya wasichana, sasa !
Wote : Haya!
(Katika dansi ya karamu
)
Nyota: Mahali hapa ni pakubwa pana kishindo.
Maua: Tutakuwa na wakati wazuri. Utauona, Mama!
Imani: Tazama. Mvulana yule anacheza kama kuku.
Asha: Ndiyo, ana kichaa!
(everyone laughs)
Hamisi: Hamjambo wanawake warembo.
Asha: Jambo, kuku
Hamisi: Je, unasema nini?
Maua: Anasema "jambo, ndugu"
Hamisi: Mnanichezea mtaona!
Nyota: (to Asha) Binti yangu, ununue bia, tafadhali.
Maua: Asha na mimi tunawaletea bia.
Imani: Nzuri, asante watoto.
(later
the mothers become drunk)
Nyota: (to Hamisi) Kuku! Njoo hapa tucheze!
Hamisi: Bei ni dola kumi.
Imani: Nitakupa dola nne.
Hamisi: Haya, lakini hawanigusi au bei itakuwa dola ishirini!
(Hamisi's dance is over and the ladies are laughing and being drunk,
especially the mothers)
Nyota na Imani: Asante, kuku!
Door Man: Haya, wanawake. Mwende, sasa, Ninyi walevi
Asha: Ninaona haya sana.
Imani: Nyota, unaangusha bia yangu! Hapa, unywe bia yangu.
Door Man: tunaleta wanawake.
Asha: Samahani, bwana. Wanatuzui kushangilia! Wanasumbua sherehe!
Door Man: Mwondoke, sasa!

Sehemu ya tano
sherehe ya kuunganisha bi na bwana arusi
Muhubiri: Asha na Hamisi wameadikiana nadhiri wenyewe. Kuunga
mkono nadhiri tafadhali
sema tena. Asha
utasema nadhiri kwa Hamisi. Mimi Asha
Asha: Mimi Asha (Asha anamtazama Hamisi)
Mhubiri: Ninakupenda Hamisi kwa sababu wewe mtu mrembo
Asha: Ninakupenda ...........
Hamisi: (gazing at the beautiful bride) Mimi Hamisi..
Mhubiri: ninamchukua Asha kama mke wangu, nitamwekea tayari pesa na wanyama,
halafu nitampa moyo wangu kwa maisha.
Hamisi: ninamchukua............................... kwa maisha.
Mhubiri: Haya, vizuri sana. Sasa, nani anapete?
(Groomsman and Maid of Honor- together they get out the rings) Sisi tuna
pete
hapa .
Mhubiri: Halafu, mtasema tena
Hamisi
kwa pete hii ninakuoa
Hamisi: Asha, kwa pete hii ninakuoa
Mhubiri: Hamisi, unachukua msichana huyu kuwa mke wako katika ugonjwa
na
afya; mpaka kifo?
Hamisi: Ndiyo! (he puts the ring on her finger and blushes)
Mhubiri: Haya, Asha
sema tena
kwa pete hii ninakuoa
Asha: Hamisi, kwa pete hii ninakuoa
Mhubiri: Je, Asha, unachukua kijana huyu kuwa mme wako katika ugonjwa
na
afya; mpaka kifo?
Asha: Ohhh, Ndiyo, ndiyo! (she puts the ring on his finger and they hug,
both
smiling)
Mhubiri: Sasa, ninyi mtaanza kuwa mke na mme!!! hoyee!(the bystanders
cheer)
Hamisi, unaweza kubusu mke sasa.
MWISHO
|