![]() |
![]() |
|
Makala haya yameandikwa na Sarah Smiley (Afiya) mwanafunzi wa mwaka wa pili Spring 2004Jiografia ya Afrika Afrika ni bara. Ina nchi hamsini na mbili. Nchi nyingine ni kubwa, nyingine ni ndogo. Nyingine ziko jangwa, nyingine ziko msitu wa mvua. Nchi ni tofauti sana. Afrika ni kubwa zaidi kuliko Amerika, New Zealand, Ulaya ya Magharibi, na Uchina pamoja. Leo, nitasema juu ya jiografia ya Afrika ya Mashariki. Nchi za Afrika ya mashariki ni Uganda, Kenya, na Tanzania. Nitasema juu ya watu, serikali, lugha, dini, mazingira, wanyama, na ukoloni na uhuru. Kwa Uganda, kuna watu milioni ishirini na tano. Rais ni Yoweri Museveni tangu 1986. Hakuna vyama. Kaabla ya Museveni, Uganda ilikuwa na wadikteta kama Amin na Obote. Wao walikuwa wabaya sana na waliua watu wengi. Watu wanasema Kiingereza. Kiingereza ni lugha ya rasmi. Kuna lugha ya kienyeji vijijini kama Kiluo na Kiacholi. Watu wengine wanasema Kiswahili. Watu ni Wakristo. Watu walikuwa Ukristo kaabla ya ukoloni. Kuna Wahindi pia kwa sababu Waasia wengi walifanya kazi kwa reli. Baadye, Waasia walikaa Uganda na walifanya biashara. Mto Nile unaanza katika Uganda. Unaanza katika Ziwa Victoria. Sokwe wanakaa Uganda tu. Sokwe chache sana wanakaa dunia. Korongo ni ndege wa taifa. Uganda ilikuwa koloni ya Uingereza. Uganda ilipata uhuru wake tarehe 9, mwezi wa Oktoba, mwaka 1962. Kwa Kenya, kuna watu milioni thelathini na moja. Ziwa Turkana liko Kenya. Wachungaji wanaongoza ng'ombe kule kunywa. Maji ni rangi ya kijani kibichi . Kenya ina wanyama wengi lakini ng'ombe ni muhimu sana. Ng'ombe ni pesa katika mahali pengine. Kenya ilikuwa koloni ya Uingereza. Kenya ilipata uhuru wake tarehe 12, mwezi wa Desemba, mwaka 1963. Kwa Tanzania, kuna watu milioni thelathini na nne. Mwisho |
||
|
This website was originally developed with support
from a U. S. Department of Education Title VI grant for "Enhancing
Less Commonly Taught Languages and Cultures" (Award #P016A990036).
This page was created by Jane Irungu with the assistance of Jonathan Perkins
and Lewis Walton of the Ermal Garinger
Academic Resource Center of the University
of Kansas. Last modified
May 3, 2004
.
|
![]() |