globe Kiswahili Resource Center banner  
coursesbreakcontactsbreakmaterialsbreakweblinksbreakhome end
white  
 

Makala haya yameandikwa na Justin Shmalberg (Juma) mwanafunzi wa mwaka wa tatu,
Spring 2003

 

Jimbo la Kansas ni sehemu ya Amerika. Lina watu mbalimbali, miji mikubwa na midogo, na mivuto tofauti kwa wageni kufurahia!

Mji mkuu wa Kansas ni Topeka, mji katika sehemu ya Mashariki ya jimbo. Hapa, kuna bunge la chini na la juu, na ofisi ya mjumbe.

Kathleen Sebelius ni mjumbe wa Kansas –yeye alichaguliwa mwezi wa Novemba, mwaka wa elfu mbili na mbili.

Habari Kuhusu Jimbo la Kansas

Mwaka wa Utaifa Elfu Moja Mia Nane Sitini na Moja
(Jimbo namba 34)
Wito wa Jimbo “Ad Astra per Aspera” – Hadi nyota kupitia shida
Idadi ya Watu Milioni mbili na nusu Wimbo ya Jimbo Nyumba katika Safu
Idadi ya Watu Iliyo Kithiri Watu kumi na mbili kwa kilomita za mraba Miji Mikubwa Wichita, Kansas City, Overland Park, Topeka
Jina la Utani Jimbo la Alizeti Miji Midogo Freeport, Oak Hill, Benedict

Nyati wa Amerika ni mnyama rasmi la jimbo.

Meadowlark ya Magharibi ni ndege rasmi.

Nyuki wa Asali alipewa jina la mdudu wa Kansas, mwaka wa 1976.
Jimboni, kuna alizeti nyingi na haya ni maua rasmi ya Kansas.

Kasa huyu ni mtambaazi rasmi, ni kasa wa kasha lenye madoido.

Kansas ina viwanda vingi, kama ofisi mjini Kansas City na utengenezaji wa ndege mjini Wichita.

Mji wa Lawrence

Kwa wageni na raia ambao wanapenda ulimwenguni, kuna mbuga za Ziwa la Clinton na Ardhi ya Majimaji ya Baker karibu na mji.
Chuo Kikuu cha Kansas ni sehemu ya muhimu ya jumuia. Kila mwaka, kuna wanafunzi elfu ishirini ambao huja hapa kusoma na kufurahia maisha katika Lawrence.
Mjini Lawrence ni mahali pa kusisimua! Karibu na Mtaa wa Massachusetts, kuna duka nyingi, mikahawa ya aina yote, na sherehe tofauti. Mjini ni kama utamaduni mkubwa kwa hali ya mji mdogo!
Lazima uje Lawrence leo na kuona nini Lawrence na Jimbo la Kansas zinaweza kukuonyesha. Kuna hoteli nzuri sana kama Eldridge mjini Lawrence unapoweza kukaa!



 
  African Studies Resource CenterbreakDept of African & African-American Studies end
this page mets accessibility guidelines
This website was originally developed with support from a U. S. Department of Education Title VI grant for "Enhancing Less Commonly Taught Languages and Cultures" (Award #P016A990036). This page was created by Jane Irungu with the assistance of Jonathan Perkins and Lewis Walton of the Ermal Garinger Academic Resource Center of the University of Kansas. Last modified May 3, 2004 .
KU Foreign Languages webpage